Ijumaa, 19 Desemba 2014

MATUKIO TOFAUTI YA MBUNGE, DR.MARY MWANJELWA, ZIARANI MBARALI MBEYA NA KUPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA

 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, akivishwa skafu na vijana wa uvccm wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya jana, alipofika wilayani humo kwa ajili ya ziara ya kikazi.
 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, akipiga kura wakati wa kuchagua viongozi wa serikali za mitaa Jijini Mbeya tarehe 14/12/2014.
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa,(kushoto), akiwa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya, Amani Kajuna, walipokutana katika vikao vya Chama Cha Mapinduzi(CCM), ofisi za mkoa wa Mbeya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...