Jumamosi, 25 Oktoba 2014

MAHAFALI ST. AGGREY MBEYA, MBUNGE WA VITI MAALUM CCM, DR. MARY MWANJELWA AWA MGENI RASMI

 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, Kulia, akiwa na Meneja wa taasisi za St. Aggrey, Jackson Kamugisha wakati wa mahafali ya shule ya sekondari ya St. Aggrey Mbeya jana.

 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, Kulia, akicheza twist na wanafunzi wa St. Aggrey chanji ya Sumbawanga, wakati wa mahafali ya shule ya sekondari ya St. Aggrey Mbeya jana.
 Kwaito nayo ilikuwepo, kushoto ni Mkurugenzi msaidizi wa taasisi za St. Aggrey, Neema Mwambusi.



 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, katikati, akiwa anavalishwa skafu na vijana wa skauti wa shule ya St. Aggrey Mbeya, wakati wa mahafali ya shule ya sekondari ya St. Aggrey Mbeya jana.


 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa,  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa taasisi za St. Aggrey, wakati wa mahafali ya shule ya sekondari ya St. Aggrey Mbeya jana.


 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, Kulia, akiwapongeza wanafunzi Amani Mwakyelu na Matha Samwel wa kidato cha Nne shule ya sekondari St. Aggrey Mbeya jana, baada ya kupata zawadi za nidhamu. Kulia ni Makamu Mkurugenzi wa taasisi za St. Aggrey, Neema Mwambusi na kushoto ni Meneja wa taasisi hizo, Jackson Kamugisha, wakati wa mahafali ya shule ya sekondari ya St. Aggrey Mbeya yaliyofanyika juzi shuleni hapo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...