Jumamosi, 25 Oktoba 2014

MBUNGE MULUGO NA DR. MWANJELWA WAAGA MWILI WA MZEE NICODEM KAZUMBA MBEYA VIJIJINI

 Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, akizungumza jambo katika msiba wa mzee Nicodem Kazumba, aliyefariki baada ya kugongwa na gari mjini Mbalizi wilaya ya Mbeya, mbkoani hapa. Mbunge huyu aliungaa na Mbunge wa Jimbo la Songwe wilayani Chunya, Philipo Mulugo kuhani msiba huo na kumpa pole mtoto wa marehemu, aitwaye, George Kazumba.
 Waombolezaji wakiomboleza msiba huo, eneo la Mtakuja Mbalizi Mbeya.
Mbunge wa Jimbo la Songwe wilayani Chunya, Philipo Mulugo kuhani msiba na kumpa pole mtoto wa marehemu, aitwaye, George Kazumba, kufuatia kifo cha Baba yake mzazi, Nicodem Kazumba, aliyefariki baada ya kugongwa na gari mjini Mbalizi wilaya ya Mbeya, mbkoani hapa.

 George Kazumba akizungumza na Mama yake mzazi katika msiba huo jana, mjini Mbalizi Mbeya.
 Mbunge wa Jimbo la Songwe wilayani Chunya, Philipo Mulugo na Mbunge viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, wakiaga mwili wa marehemu, Nicodem Kazumba, aliyefariki baada ya kugongwa na gari mjini Mbalizi, wilaya ya Mbeya Vijijini na  kumpa pole mtoto wa marehemu, aitwaye, George Kazumba(kulia).

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...