Jumatatu, 5 Desemba 2016

MWANA WA PIPA AENDELEZA ZIARA ZAKE CHIMALA MBEYA

Baada ya kikao cha H/K CCM Mkoa, Mhe Dr Mary Mwanjelwa Mbunge kaendelea na zoezi la kijamii huko Igurusi Mbeya kuzindua filamu ya msanii chipukizi wa kuigiza Nwaka Mwakaponda mkanda uitwao mahakama ya rufaa. Mhe. Diwani wa kata hiyo Hawa Kihwele alikuwepo na viongozi wengine. Mhe. Mary Mwanjelwa alitoa shilingi milioni moja .

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...