Jumatatu, 5 Desemba 2016

MH DR MARY MWANJELWA AENDA KUHANI MSIBA MBARALI

Mhe. Dkt. Mary Mwanjelwa akimfunga vitenge vya kuhani msiba Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Mbarali mama Mary Mbwilo nyumbani kwake Chimala  ambaye alifiwa na binti yake mwezi uliopita yeye alipokuwa Bungeni ingawa mwakilishi alimwakilisha Mh Mbunge Kheri wanyofu wa moyo kwa wenzao kama Mh Dr Mary Mwanjelwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...