Jumatano, 23 Septemba 2015

AMUUA MKEWE KWA FIMBO



KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA, AHMED MSANGI.

MWANAMKE mmoja mkazi wa kijiji cha Mafyeko wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, aitwaye Zaina Juma@Mageta (24), aliuawa kwa kupigwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na mumewe aitwaye Malaika Wayesu (42).

Kisa cha mauaji hayo ni mtuhumiwa huyo kumkuta marehemu mkewe akifanya uzinzi na mwanaume mwingine aitwaye Kagusa Japhari, ambaye alikimbia baada ya kufumaniwa.

Mtuhumiwa amekamatwa na yupo chini ya ulinzi wa Polisi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...