Jumatatu, 23 Februari 2015

MBUNGE DKT.MARY MWANJELWA, KUANZA ZIARA MBEYA VIJIJINI

MBUNGE wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dkt. Mary Mwanjelwa(CCM), kesho kutwa Tarehe 23.02.2015. anataraji kuanza ziara ya kikazi katika Jimbo la Mbeya Vijijini.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari kutoka ofisi ya Mbunge huyo, imesema kuwa, pamoja na mambo mengine, atawawezesha vijana wapenda soka mipira.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...