Jumamosi, 27 Septemba 2014

ST. MARCUS SCHOOLS MBEYA; TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO

 KARIBU ST.MARCUS SCHOOLS, ZILIZOPO IWAMBI MBEYA.




 BAADHI YA WANAFUNZI AMBAO WANASOMA KATIKA SHULE YA ST.MARCUS SCHOOLS, ZILIZOPO IWAMBI JIJINI MBEYA. WANALELEWA KATIKA MAZINGIRA MAZURI NA YENYE MAADILI MEMA.
 BAADHI YA WANAFUNZI WA SEKONDARI KATIKA ST,MARCUS SCHOOLS, IWAMBI MBEYA TANZANIA.

SHULE za kisasa za ST. MARCUS NURSERY, PRIMARY AND SECONDARY SCHOOLS, zilizopo Iwambi Jijini Mbeya, zinatangaza nafasi za masomo kwa Nurser, Primary na Sekondari kwa mwaka 2015.
 
 
Shule za St. Marcus, ni za kutwa na bweni, kwa wavulana na wasichana wa dini zote, zimesajiliwa kwa mchepuo wa English Medium.
 
 
Shule zinatoa huduma mbalimbali, ikiwemo usafiri kwa wanafunzi wanafunzi watokao nyumbani, St. Marcus ina walimu wazoefu, maktaba, darasa la Computer, maabara za kisasa kwa masomo ya sayansi.
 
 
St. Marcus Secondary, imeshika nafasi ya pili kitaaluma kwa Jiji la Mbeya, mtihani wa Mock kidato cha pili kwa mwaka 2014.
 
 
Kwa wanaohitaji kujiunga, usaili utafanyika Tarehe 11/10/2014 na Tarehe 22/11/2014 saa tatu asubuhi katika maeneo yafuatayo, vituo vya St. Marcus Schools, Mbeya, Ignatus school, Dodoma na Perfect Vission Secondary School, Dar Es Salaam.
 
 
Fomu za kujiunga zinapatikana shuleni St. Marcus schools, Mbeya, Rombo Green view Hotel, Dar es Salaam, Martin Luther School, Dodoma, Ofisi za Radio Jogoo, Songea na Kalenga Hotel Iringa Mjini.
 
 
Wote mnakaribishwa.
 
Kwa mawasiliano zaidi piga simu 0764 171742 na 0754 691038
Au tembelea website www.stmarcusschools.ac.tz

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...