Jumatatu, 3 Februari 2014

DR. MARY MWANJELWA ASHIRIKI KAMPENI ZA UDIWANI MBEYA VIJIJINI NA WILAYANI RUNGWE

 Dr.Mary Mwanjelwa akigalagala kama mila ya Kinyakyusa, Mgombea wilayani Rungwe mkoani Mbeya.



 Dr. Mary Mwanjelwa, akimnadi mgombea udiwani kata ya Santilia, wilaya ya Mbeya Vijijini, Anthon Mboma.


Wialayani Rungwe.






Dkt. Mary Mwanjjelwa (katikati) akiwa na Katibu Mkuu wa UWT Taifa mhe. Amina Makilagi (kushoto) na Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Mbeya Priuscila Mbwaga wakiongoza Wanawake wa Jiji la Mbeya CCM waliokwenda kuwafariji wagonjwa huko kituo cha Afya Igawilo Uyole Kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 37 Jiji la Mbeya.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...