Jumapili, 24 Novemba 2013

ZIARA YA KINANA KYELA MBEYA

 Kulia ni katibu mkuu wa CCM Taifa, ndugu Abdulhaman Kinana akisalimiana na Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. MARY MWANJELWA mara baada ya kufika wilayani Kyela jana.

 Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Songwe mkoani Mbeya, Philipo Mulugo, Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa na Mbunge wa Jimbo la Kyela, Dr. Harrison Mwakyembe. Wakati wa ziara ya katibu mkuu wa CCM Taifa, aliyoianza mkoani Mbeya jana.
 Kinana akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Rungwe Magharibi, Dr. David Mwakyusa.
 Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Kyela, Dr. Mwakyembe akitoa ufafanuzi wa jambo kuhusu kivuko cha Itungi, ambacho kwa sasa hakifanyi kazi...
Chanzo; michuzi blog

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...