Ijumaa, 2 Desemba 2016

MH MBUNGE AENDELEA NA ZIARA ZA KUSHITUKIZA JIJINI MBEYA

 Akipokea mchele kutoka kwa kina mama waliowakilisha wenzao baada ya Mkutano kumalizika ambapo Mh Mbunge Dr Mary Mwanjelwa aliwaasa wafanyabiashara kuacha kutumika kisiasa
 Mh Mbunge Dr Mary Mwanjelwa akiongea na  Mfanyabiashra wa Mboga mboga katika soko la Soweto Mkoani Mbeya
 Mh Dr Mary Mwanjelwa Mbunge Akisalimiana na Viongozi wa Wafanyabiashara kabwe Mbeya
Wafanyabiashara wa Mama Lishe wakimsikiliza Mh Mbunge Dr Mary Mwanjelwa

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...