Alhamisi, 31 Desemba 2015

UNAYAKUMBUKA HAYA YA USHINDI DR MARY MWANJELWA MWAKA 2015

Mbunge viti maalum mkoa wa mbeya Dr.Mary Mwanjelwa  alivunja rekodi
katika kura za maoni kutoka kwa wajumbe wa ccm mkoa wa mbeya na kupata
ridhaa ya kulejea tena katika kiti  cha ubunge viti maalum mkoa wa Mbeya
kwa ushindi wa kishindo wa asilimia 97 na kuwashinda wagombea kumi (10)
kati ya kumi na moja (11) walio kuwa wakigombea na kutaka kuteuliwa na
wajumbe wa ccm mkoa wa mbeya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...