Jumatano, 22 Aprili 2015

LIVE..... DR. MARY MWANJELWA AWA MGENI RASMI MAHAFALI YA 13 YA KIDATO CHA SITA MBEYA SECONDARY

 Mwanafunzi wa kidato cha tano katika shule ya Mbeya sekondari iliyopo Jijini Mbeya, akimweleza Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Dr. Mary Mwanjelwa, jinsi teknolojia ya simu inavyoweza kutoa fursa ya umwagiliaji bila binadamu kuwa shambani.
 Mwanafunzi Jerry Mahenge (19) wa kidato cha tano katika shule ya Mbeya sekondari iliyopo Jijini Mbeya, akimweleza Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Dr. Mary Mwanjelwa, jinsi uchanganyaji wa kemikali unavyofanywa katika kujifunza masomo ya sayansi katika shule hiyo.
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Dr. Mary Mwanjelwa, akishika simu ambayo inatumika katika teknolojia ya umwagiliaji wa bustani au shamba bila mwanadamu kuwa shambani kwa muda unaotakiwa kumwagilia.

 Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya Dr. Mary Mwanjelwa, akiingia katika ukumbi wa mikutano wa shule ya Mbeya Sekondari Jijini Mbeya, ambapo yeye ndiye mgeni rasmi katika mahafali ya 13 ya kidato cha sita tangu kuanzishwa shule hiyo mwaka 1962.
 Meza kuu.

Sanaa na maonesho ya mitindo ikiendelea ukumbini.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...