Alhamisi, 6 Novemba 2014

BREAKING NEWS......BASI LA KAMPUNI YA HAPPY NATION LAPINDUKA IGURUSI MBEYA

BASI la kampuni ya Happy Nation, limeripotiwa kupinduka asubuhi ya leo eneo la Igurusi wilayani Mbarali mkoani Mbeya, likitokea mjini Mbeya kwenda Dar es Salaam.

Abiria kadhaa wameripotiwa kujeruhiwa.

Taarifa zaidi tutaendelea kuwaletea. Endelea kutembelea mtandao huu wa www.marymwanjelwa.blogspot.com

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...