Jumatatu, 6 Oktoba 2014

MBUNGE WA VITI MAALUM MKOA WA MBEYA, DR. MARY MWANJELWA, KUANZA ZIARA YAKE MBEYA MJINI

 Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Songwe mkoani Mbeya, Philipo Mulugo, Mbunge wa viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa na Mbunge wa Jimbo la Kyela, Dr. Harrison Mwakyembe. 

TAARIFA kutoka ofisi ya Mbunge wa Viti maalum mkoani Mbeya, Dr. Mary Mwanjelwa, zimesema kuwa Mbunge huyo baada ya kumaliza shughuli za Bunge maalum la Katiba mjini Dodoma wikiiliyopita, anatarajia kuanza ziara yake katika Jimbo la Mbeya mjini.

Mbunge huyo, anatarajia kutembelea makundi mbalimbali ya kijamii ikiwa ni pamoja na kutimiza ahadi ambazo alizikubali baada ya kupelekewa maombi ofisini kwake kutoka kwa wananchi.

Ziara hiyo inategemewa kuanza tarehe 9/10/2014.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...