Jumanne, 15 Julai 2014

MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA, DR.MARY MWANJELWA, ATIMIZA AHADI YA VIJANA WALIOMUOMBA JEZI NA MIPIRA ISYESYE MBEYA MJINI

 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akifurahia jambo na kocha mkuu wa timu ya Isyesye FC, Steve Kasalila (KULIA) na Katibu wa wanawake wa CCM kata ya Isyesye, Zainab Kessy(KULIA).
 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akifunga gori la penalti, na kumwacha mlinda mlango wa timu ya Isyesye.


 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akimkabidhi kocha mkuu wa timu ya Isyesye Jijini Mbeya,Steve Kasalila, jozi ya jezi na mipira mitano leo.

 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akihutubia wananchi na wachezaji wa timu ya Isyesye na Veta leo jioni, katika uwanja wa Isyesye, Vingunguti Relini Jijini Mbeya, wakati wa kukabidhi jozi moja ya jezi na mipira mitano kwa timu ya Isyesye Jijini Mbeya.

 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akihutubia wananchi na wachezaji wa timu ya Isyesye na Veta leo jioni, katika uwanja wa Isyesye, Vingunguti Relini Jijini Mbeya, wakati wa kukabidhi jozi moja ya jezi na mipira mitano kwa timu ya Isyesye Jijini Mbeya.

 Mweyekiti wa UVCCM Mbeya Mjini, Maranyingi Matukuta, akifungua jezi, wakati wa MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akihutubia wananchi na wachezaji wa timu ya Isyesye na Veta leo jioni, katika uwanja wa Isyesye, Vingunguti Relini Jijini Mbeya, kisha kukabidhi jozi moja ya jezi na mipira mitano kwa timu ya Isyesye Jijini Mbeya.
 Akipokea bahasha kutoka kwa machifu wa eneo la Isyesye, Jijini Mbeya leo.


 MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akisalimiana na wachezaji wa timu ya VETA NA ISYESYE Jijini Mbeya, eneo la uwanja wa vingunguti Relini Jijini Mbeya, wakati wa kukabidhi jozi moja ya jezi na mipira mitano kwa timu ya Isyesye Jijini Mbeya.




MBUNGE viti maalum mkoa wa Mbeya, Dr, Mary Mwanjelwa, akipiga penlti kwa ustadi mkubwa, baada ya kuhutubia wananchi na wachezaji wa timu ya Isyesye na Veta leo jioni, katika uwanja wa Isyesye, Vingunguti Relini Jijini Mbeya, na kukabidhi jozi moja ya jezi na mipira mitano kwa timu ya Isyesye Jijini Mbeya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...