Jumapili, 27 Aprili 2014

SHEREHE ZA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA UJERUMANI: PROFESA MUHONGO, MGENI RASMI

 Kikundi cha ngoma za sanaa kutoka Jeshi la Wananchi Tanzania  kikitumbuiza  kabla ya kuanza kwa sherehe hizo.
 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akizungumza na  baadhi ya wajumbe waliohudhuria  sherehe hizo

 Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akibadilishana mawazo  na balozi wa heshima wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Hamburg Petra Hammelmann. Kulia ni mume wa balozi huyo Bw.Bertold Zink.
 Waziri wa Nishati na  Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) (wa  pili kutoka kulia) akiwa amesimama kwa heshima na wajumbe wengine wakati wimbo wa taifa ukipigwa na kikundi cha ngoma za sanaa cha Jeshi la Wananchi Tanzania
 
 Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe. Philip Marmo akimkaribisha Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ili afungue maadhimisho hayo
 Waziri wa Nishati na  Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akifungua sherehe hizo
 Mhadhiri kutoka chuo  kikuu cha Dar es salaam Profesa Palamagamba Kabudi (wa tatu kutoka kulia) akichangia mjadala juu ya historia ya ushirikiano baina ya Tanzania na Ujerumani wakati wa maadhimisho ya sherehe hizo
Timu ya wataalamu kutoka Tanzania waliohudhuria sherehe hizo wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani Mhe. Philip Marmo (wa kwanza kulia)

credit;matukio-michuzi

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...