Jumanne, 14 Januari 2014

KAMATI KUU YAMTEUA MAHMOUD THABIT KOMBO KUWA MGOMBEA WA UWAKILISHI WA JIMBO LA KIEMBE SAMAKI

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Sekretarieti Makao Makuu ya CCM mjini Zanzibar ambapo alitangaza uteuzi wa Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki  Ndugu Mahmoud Thabiti Kombo ,baada ya kumalizika kwa kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya CCM.


Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Mwigulu Nchemba akimpongeza Ndugu Mahmoud Thabiti Kombo kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa uwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki, kushoto ni Waziri wa Afya Dk.Hussein Mwinyi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...