Jumatatu, 23 Desemba 2013

ANZISHENI VIKUNDI

Dk.Mary mwanjelwa akizungumza na akina Mama wauza ndizi wa kijiji cha Iponjola kata ya Rufingo wilaya ya Rungwe na kuwataka waanzishe vikundi kwani benki ya wanawake ipo karibuni kufunguliwa katika mkoa wa Mbeya hivyo itawasaidia kupata mikopo kwa riba nafuu.

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alisimama kuwasalimu wakina mama hao kisha kuutambulisha uongozi wote aliokuwa nao kwenye msafara.

 Mbunge wa Viti Maalum Wananwake mkoa wa Mbeya Dk.maru Mwanjelwa akicheza ngoma  kabala ya kuanza kwa mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Ikuti ambapo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na viongozi wa kitaifa aliofutana nao Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Dk.Asha-Rose Migiro na Katiibu wa NEC Itikadi na Uenezi walihutubia.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

NAIBU WAZIRI WA KILIMO MHE MWANJELWA AMUAGIZA MRAJIS KUFANYA UCHUNGUZI SACCOS YA MADIBIRA-MBARALI NDANI YA SIKU 14

Naibu Waziri wa Wizara ya Kilimo, Mhe Mary Mwanjelwa akisisitiza jambo wakati akizungumza na Viongozi mbalimbali wa Mkoa na kamati ya uli...