Mbunge
 wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa 
Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba 
wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa
 hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini 
Singida.
Katibu
 Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi 
na  Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club 
kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa kutumia usafiri wa
 Bajaji.
Katibu
 mkuu wa CCM , Kinana, (kwanza kulia),akifurahia ujumbe ulioandikwa 
kwenye bango la wajasiriamali waliohudhuria mkutano wa hadhara 
uliofanyika kwenye viwanja vya Peoples klabu mjini Singida.
Mkuu
 wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi,(wa kwanza kushoto) akishiriki kutoa 
burudani kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa kwa ajili ya katibu mkuu 
CCM taifa,Abrahamani Kinana,kuzungumza na wakazi wa jimbo la Singida 
mjini.
Naibu
 waziri wa fedha Adamu Malima,(wa kwanza kushoto) akifurahia jambo na 
mbunge wa jimbo la Singida mjini juzi kwenye hafla ya mbunge Dewji 
kukabidhi msaada mabati na mifuko yenye thamani ya  zaidi ya shilingi 
125 milioni.
Mbunge
 wa Jimbo la Singida Mjini Mohammed Dewji akiwa na Mbunge wa Jimbo la 
Manyoni Mashariki Kepteni John Chiligati wakiwapungia wananchi mikono 
kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadgara kwenye viwanja vya Peoples Club 
mjini Singida.
Katibu
 Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana akihutubia mamia ya wananchi wa 
Manispaa ya Singida wakati wa mkutano wa hadhara kwenye viwanja hivyo.
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk, Parseko Kone akizungumza kwenye Mkutano huo.
Baadhi
 ya wakazi wa manispaa ya Singida,waliohudhuria mkutano wa hadhara 
uliofanyika kwenye viwanja vya peoples klabu mjini hapa.
Naibu
 Waziri wa Uchukuzi Charles Tzeba akihutubia wananchi wa Singida mjini 
na kuwambia tatizo la usafiri wa treni limepatiwa ufumbuzi wa kudumu 
kwani Reli ya kati inaboreshwa na tayari vichwa 40 vya treni vitaanza 
kazi ifikapo Januari hivyo gharama za usafiri wa treni kwa abiria na 
mizigo itashuka.
Naibu
 katibu mkuu CCM taifa Mwigullu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa 
hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya people klabu mjini Singida.
Mbunge
 wa jimbo la Singida mjini,Mohammed Gulam Dewji,akizungumza kwenye 
mkutano wa hadhara muda mfupi kabla hajakabidhi msaada wa Mabati na 
Saruji mwenye thamani ya zaidi ya shilingi 125 kwa ujenzi wa misikiti na
 makanisa.
Mbunge
 wa jimbo la Singida mjini Mohammed Gulam Dewji ( kulia) akimkabidhi 
sehemu ya msaada wa mabati na mfuko wa saruji yaliyotoa kwa ajili ya 
kuchangia ujenzi wa misikiti na makanisa jimbo la Singida mjini.
Naibu
 waziri wa  maji,Amossi Makala,(wa kwanza kulia),mbunge wa jimbo la 
Singida mjini,Mohammed Dewji,mbunge wa jimbo la Manyoni mashariki,John 
Chiligati,mjumbe wa mkutano mkuu NEC  taifa CCM  manispaa ya 
Singida.Hassan Mazala,naibu waziri wa fedha,Adamu  Malima,wakifuatilia 
hotuba iliyokuwa ikitolewa na katibu mkuu CCM taifa,Abrahamani Kinana.
Katibu
 Mkuu wa CCM Taifa ,Abdulrahman Kinana (katikati), Nape Nnauye  na 
 Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini MO wakiteta jambo kabla ya kukabidhi 
misaada ya saruji na Mabati kwenye taasisi za dini jimboni humo.
Mkuu
 wa Mkoa wa Singida Dk, Parseko Kone akifurahia jambo na Naibu Waziri wa
 Fedha, Mh. Adamu Malima, sambamba na Mbunge wa Jimbo la Manyoni 
Mashariki, Kapten John Chiligati.
Mbunge
 wa  Viti Maalum Mkoa wa Singida, Matha Mlata, akiangalia picha 
mbalimbali kutoka kwa mmoja wa wapiga picha walikuwemo kwenye mkutano 
huo,sambamba na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na 
Uratibu), Stephen Wasira.
 
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni